1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hali ya uchaguzi mjini Mombasa

Erick Ponda26 Oktoba 2017

Mjini Mombasa uchaguzi umeendelea baada ya vituo vya kupigia kura kufunguliwa saa kumi na Mbili asubuhi. Lakini idadi ya wapiga kura waliojitokeza ni ndogo. Erick Ponda anaripoti kutoka Mombasa.

https://p.dw.com/p/2mXVS

Mwandishi wetu wa Huko Mombasa Eric Ponda ametembelea baadhi ya vituo hivyo na kutuandalia taarifa ifuatayo.