JamiiHali ya dharura yaongezwa muda DRCTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiJohn Kanyunyu04.08.20214 Agosti 2021Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeongeza muda wa ziada wa hali ya dharura katika mikoa ya Kivu ya Kaskazini pamoja na Ituri, ingawa wakazi wameipinga hatua hiyo ya utawala wa kijeshi.https://p.dw.com/p/3yWbAMatangazo