1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

FC Ingolstadt

Ingolstadt ndiyo klabu changa kabisaa katika Bundesliga, ikiundwa mwaka 2004 baada ya kuungana ESV Ingolstadt na MTV Ingolstadt. Waliingia Bundesliga kwa mara ya kwanza 2015 baada ya kushinda ligi ya daraja la pili.