Leipzig yazuiwa na Dortmund kukamata usukani wa Bundesliga, Schalke hatimaye yapata ushindi wake wa kwanza katika mwaka mmoja // Michezo ya Olimpiki nchini Japan itaendelea au la? Hilo ni suali linalozusha tumbo joto miongoni mwa wengi kutokana na janga la corona// Na kivumbi cha Kombe la Mapinduzi chaendelea kutimuliwa visiwani Zanzibar