Kwenye burudani la karibuni tunajimwaga jamvini na msanii maarufu wa Mombasa,Kenya, Mama Fathma/Idriss Salim Kidogo,miongoni mwa mengi ametusimulia jinsi alivyovamiwa hivi karibuni na vijana waliomfanyia ukatili,kwa tuhuma za kumuhisi anajihusisha na mapenzi ya Jinsia moja. Jiunge na Saumu Mwasimba kwenye maskani hii ya Karibuni.