Baraza za kahawa ni maarifu sana visiwani Zanzibar. Vijana kwa wazee hukutana hapo kunywa kahawa na tangawizi ambavyo ni vinywaji maarufu vya dahari na karne. Salma Saidi anakueleza zaidi kile kinachotokea katika Baraza hizo katika video hii. #kurunzi 12.02.2020