Wataalam wa Umoja wa Mataifa wataka uchunguzi kufanywa haraka, dhidi ya madai kuwa Saudi Arabia ilihusika katika njama ya kuidukua simu ya mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Amazon.// China yasitisha safari za umma katika mji wa Wuhan kufuatia mlipuko wa virusi, Corona. / Umoja wa Mataifa wasema watu 19 wameuawa Sudan Kusini kufuatia shambulizi katika eneo linalozozaniwa la Abyei, mpakani na Sudan.