1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Al-Shabaab

Al-Shabaab (vijana) ni kundi la wapiganaji wa siasa kali lenye makao yake Somalia. Kundi hili lilianzishwa kati ya 2004 na 2006 likidai linapigania kuanzishwa kwa utawala wa Kiislamu kwenye Pembe ya Afrika.

Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi

Ripoti na Uchambuzi

Onesha zaidi