Mawakili wa Mbowe wameiomba mahakama kumuachilia huru, wakidai mahakama hiyo haina mamalaka kisheria kusikiza kesi hiyo+++Bunge la Tanzania limetoa maamuzi ya adhabu kwa wabunge wawili wa chama cha mapinduzi CCM, akiwemo Josephat Gwajima+++Brussels- Mawaziri wa sheria na mambo ya ndani wa Umoja wa Ulaya wanakutana hivi leo kujadiliana juu ya hatua za Taliban kuingia madarakani nchini Afghanistan.