Shughuli ya kuwaapisha wabunge 349 wa maeneo bunge 290 pamoja na maseneta 47 imekamilika nchini Kenya// Rais Paul Kagame wa Rwanda amelionya baraza jipya la mawaziri lililoapishwa leo mjini Kigali kuchukua hatua kali kwa wale watakaoshindwa kutekeleza majukumu yao// Wakimbizi wa Burundi walioko nchini Tanzania wataanza safari ya kwanza kurejea nyumbani kwao Septemba saba mwaka huu.