Zimbabwe- Kila mmoja kati ya wagombea wawili wakuu, rais wa Emmerson Mnangagwa na mpinzani wake mkuu, kiongozi wa vuguvugu la mageuzi ya kidemokrasia MDC Nelson Chamisa anajinata na kusema ana matumaini ya kushinda uchaguzi wa kwanza huru kuwahi kuitishwa baada ya miongo minne ya utawala wa Robert Mugabe.