Siasa31.07.2018 Matangazo MchanaTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSK2 / S02S31.07.201831 Julai 2018Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa yuko tayari kukutana na viongozi wa Iran wakati wowote bila masharti yoyote, ili kujadili namna ya kuimarisha mahusiano baada ya kuiondoa Marekani kutoka mkataba wa nyuklia wa Iran wa mwaka wa 2015.https://p.dw.com/p/32NfoMatangazo