Israel imekuwa katika mkwamo wa kisiasa baada ya chaguzi nne kushindwa kutoa mshindi na kushindwa kuunda serikali// Jumuiya ya Maendeleo ya Kiuchumi ya ECOWAS imetangaza kusimamisha uachama wa Mali baada ya kufanyika mapinduzi ya pili// Hatari ya kipindupindu kwa raia wa Congo walioikimbia Goma // Takriba watoto 200 wametekwa Nigeria// Ujerumani kusaidia utengenezaji chanjo Afrika Kusini.