Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani Mike Pompeo amesema leo kwamba nchi yake haitaziba njia dhidi ya mfumo wa mataifa ya Ulaya// Viongozi wa kijeshi nchini Sudan wamesema waandamanaji waliopiga kambi mbele ya jengo la wizara ya ulinzi mjini Khartoum wamekuwa kitisho kwa uthabiti wa kitaifa