Wakimbizi kutoka Ukraine wapindukia milioni 4/ Serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar imeingia katika mtihani wa kiuongozi/ Rais Tanzania apokea ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali/ Majeshi ya Uganda yameimarisha doria kwenye mpaka wake na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo/ Serikali, Waasi washutumiana kutofika misaada ya kiutu Tigray