Wanajeshi waliojaribu mapinduzi Niger wakamatwa// Mapambano kati ya vikosi vya serikali na waasi yakipindukia wiki nzima hivi leo kaskazini mwa Msumbiji// Marekani imeelezea wasiwasi wake kuhusu ripoti inayoungwa mkono na shirika la afya duniani WHO ya chanzo cha virusi vya Corona nchini China// Chanjo nyingine ya Covid-19 yaanza kutumika Kenya.