Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri// Ureno imeahidi kuwapeleka wanajeshi 60 kuwapa mafunzo wanajeshi wa Msumbiji mwezi ujao kwa ajili ya kupambana na magaidi hao wanaowahangaisha raia// Shirika la kutetea haki, Human Rights Watch- limesema kuwa mamlaka nchini Rwanda imewatolea vitisho.