Italia inaongoza kwa idadi ya vifo ulimwenguni kote ikiwa imeripoti jumla ya vifo 11,591// Tanzania imethibitisha kifo cha kwanza kutokana na maradhi ya COVID-19 yanayosababishwa na virusi vya corona// Rais wa Uganda Yoweri Museveni atoa amri ya kusalia majumbani kote nchini humo// Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia umefanya mashambulizi kadhaa ya anga kwenye mji mkuu wa Yemen, Sanaa.