Shirika la Afya UIimwenguni latangaza mlipuko wa virusi vya corona nchini China kuwa janga la kimataifa // Umoja wa Mataifa wasitisha operesheni zake katika kituo cha muda cha wakimbizi mjini Tripoli // Na Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson ausifu mwanzo mpya wakati nchi hiyo ikijiandaa kuondoka Umoja wa Ulaya