1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

30.11.2021 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S30 Novemba 2021

Rais Kenyatta ahutubia bunge Kenya/ HRW: Tanzania haikutenda haki kwa kutokuviwajibisha vikosi vya usalama na wanamgambo ambao walihusika katika mauaji visiwani Zanzibar wakati wa uchaguzi wa mwaka 2020/ Wimbi la matapeli wanaotumia jina la Jeshi la Wananchi wa Tanzania kuwatapeli wananchi limeendelea kuongezeka/ Uganda, DRC wafanya mashambulizi ya pamoja dhidi ya ADF/NATO imeionya Urusi

https://p.dw.com/p/43fkB