Uturuki pamoja na Urusi siku ya Ijumaa zitaanzisha operesheni za pamoja za kiusalama kaskazini mashariki mwa Syria/ Tanzania: Msamaha wa kisheria kwa washukiwa wa ufisadi> Je, ni ipi nafasi ya njia kama hii kwenye kupambana na ufisadi?/ Kenya: IEBC imesema matayarisho ya uchaguzi mdogo katika jimbo la ubunge la Kibra yamekamilika/ Hali ya kisiasa katika bara la Amerika ya Kusini