Tume ya kutunga katiba nchini Syria imehitaji miaka miwili kuweza kuundwa. Hii leo tume hiyo inakutana kwa kikao chake cha kwanza mjini Geneva/ Hivi karibuni wanawake kadhaa wameonekana kushika nyadhifa za juu za makampuni na taasisi kubwa duniani/ Wavuvi nchini Tanzaniawamedai kukabiliwa na hali ngumu ya uvuaji wa dagaa