1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

30.08.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S30 Agosti 2021

Uganda: Mauaji ya raia kwa kutumia mapanga nyakati za usiku yameongeza hofu na hasira miongoni mwa wakaazi wa eneo la Greater Masaka/ Maroketi zaidi yaelekezwa Kabul/ Rais wa Zambia aliteua wakuu wapya wa jeshi na kuwabadilisha makamishna wote wa polisi/ Wagombea ukansela Ujerumani wachuana katika mdahalo wa Televisheni/ Machafuko ya kimadhehebu yazuka Kusini mwa Lebanon

https://p.dw.com/p/3zgDd