Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson anataka kuiondoa nchi yake katika Umoja wa Ulaya ifikapo Oktoba 31, ikiwa itakuwa imepata makubaliano ya Umoja wa Ulaya au la// Marekani inapania kukamilisha mpango wa kumaliza vita vya Afghanistan na Taliban vilivyodumu kwa takriban miaka 18 sasa// Rwanda na UNHCRR kuhudumia wakimbizi wote wanaoishi kwenye miji yote ya Rwanda.