Umoja wa Mataifa umesema kuwa zaidi ya raia 100, miongoni mwao wanawake na watoto, waliuawa wakati wa mapigano nchini Libya kati ya mwezi Aprili na Juni// Rais Donald Trump wa Marekani ameanzisha hoja juu ya uwezekano wa kucheleweshwa kwa uchaguzi wa rais