Umoja wa Mataifa umesema mashambulizi mapya ya angani yaliupiga mkoa wa Hodeida nchini Yemen // Wazimbabwe wanapiga kura leo katika uchaguzi wa kwanza tangu Mugabe alipoondolewa madarakani // Na Israel yaizuia meli ya wanaharakati iliyojaribu kuuvunja mzingiro wake wa Ukanda wa Gaza