Uchaguzi nchini Zimbabwe: Upigaji kura umemalizika na vituo vimeshafungwa tayari kwa kazi ya kuhesabu kura/ Hali visiwani Comoro/ Tanzania: Waziri mkuu ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuimarisha ulinzi na usalama katika mpaka wa Tanzania na Burundi/ Somalia na Eritrea: Makubaliano ya kuanzisha mahusiano ya kibalozi baada ya uhasama wa zaidi ya muongo mmoja