1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

30.06.2021 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S30 Juni 2021

Visiwani Zanzibar kuna taarifa kwamba serikali imeanza kutoa chanjo dhidi ya virusi vya corona kimya kimya baada ya chanjo hizo kuingizwa kwa usiri> Mahojiano/ Uganda: Watu wapatao 800 wanadaiwa kupewa chanjo bandia ya COVID-19, hali iliyozusha wasiwasi/ Myanmar yaanza kuwaachilia huru wafungwa wengine 2,300/ Watu kadhaa wafa kutokana na joto kali Marekani na Canada

https://p.dw.com/p/3vpr8