Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inaadhimisha miaka 60 ya uhuru wake// Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya watoto, Unicef limeonya kwamba mamilioni ya watoto huenda wakatumbukia kwenye janga la njaa// Kifo cha mmarekani mweusi George Floyd mikononi mwa polisi kilisababisha vuguvugu la maandamano makubwa duniani kote, lakini maandamano pekee hayataleta mabadiliko yanayotakiwa.