1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

30.05.2018 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S30 Mei 2018

Bunge la Rwanda hapo jana lilipitisha muswada wa sheria utakaowawezesha raia kumiliki silaha hasa bunduki mara tu watakapokamilisha mchakato wa kupata leseni au kibali// Wataalam wanasema visa vya uvuvi haramu katika eneo la Bahari ya Hindi vimeshamiri sana katika sekta ya uvuvi duniani.

https://p.dw.com/p/2yZhN