Tanzania- Hotuba ya Rais Samia Suluhu// Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, limeandaa mkutano wake wa kwanza juu ya hatari ya mamluki nchini Libya kuingia katika mataifa mengine kama vile Chad// Serikali ya Kenya imeridhia kauli ya viongozi wa kiislamu ya kutoa msaada kwa wasiojiweza kwa ajili ya kupata futari kipindi hiki cha mwezi wa Ramadhani.