1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

30.04.2018 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S30 Aprili 2018

Waziri mpya wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo ameishutumu Iran kwa shughuli zake katika kanda ya Mashariki ya Kati, ambazo amesema zinaivuruga kanda hiyo// Rais wa Iran, Hassan Rouhani amemwambia Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron kwamba makubaliano kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran lazima yabaki kama yalivyo.

https://p.dw.com/p/2wuxh