Kama rais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa mwezi Aprili, Ujerumani iligonga vichwa vya habari kwa kufungua pazia za Baraza hilo ili kuingiza mwanga, jambo ambalo halijafanyika kwa miongo kadhaa// (Urusi na Iran wote wanaiengaenga Korea Kaskazini wakati sera ya Marekani ya kujenga au kobomoa kuelekea taifa hilo lenye silaha za nyuklia ikiwa kwenye mparaganyiko.