Muungano wa asasi za kiraia nchini Tanzania AZAKI umetoa wito wa haraka kwa Rais Samia Suluhu kuchukua hatua ya kufanya mabadiliko ya sheria kuhusu mashirika ya kiraia// Maoni- Neno Mama linaonesha heshima na sioni kama linapunguza chochote katika mamlaka yake ya urais// Miezi 18 imepita tangu maandamano makubwa yalipoiangusha serikali ya Lebanon.