Mamia kadhaa ya wafuasi wa kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga wamekusanyika hii leo katika uwanja wa Uhuru Park, wakiwa na nia ya kumuapisha kuwa rais// Serikali nchini Kenya imevizima vituo kadhaa vya televisheni na radio katika kile kinachosadikiwa ni kukiuka onyo la serikali la kutorusha matangazo ya moja kwa moja ya kuapishwa kwa kiongozi wa upinzani, Raila Odinga.