Siku 6 za kuweka chini silaha zinamaliza nchini Syria// Watu 18 wauawa na zaidi ya 100 wajeruhiwa Iraq// Johnson kushinikiza tena uchaguzi Uingereza// Mvua zinazoendelea kunyesha sehemu mbalimbali Afrika Mashariki zimeendelea kusababisha maafa makubwa.