Afisa wa ngazi ya juu katika jeshi la Marekani alipendelea zaidi hatua ya kuwabakisha wanajeshi wa Marekani nchini Afghanistan ili kuepusha kuporomoka kwa serikali ya Kabul/ Rwanda yakiri kupoteza askari wanne huko Cabo Delgado/ Uganda: Wabunge walioachiwa kwa dhamana wamefikishwa tena mbele ya hakimu na kusomewa mashtaka ya mauaji/ COVID-19 imeathiri juhudi za kupambana na Malaria