Mgombea alieshindwa kwenye uchaguzi wa rais katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Martin Fayulu ameunda vuguvugu jipya la upinzani kwa ajili yakile anachoita kuwa ni kudai maslahi ya wananchi na matokeo sahihi ya uchaguzi// Japan hii leo imeandaa mkutano wa maendeleo na viongozi wa Afrika.