Tanzania: Viongozi wakuu wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA wamekamatwa na polisi wakati wakiwa katika vikao vya ndani vya chama hicho/ Serikali ya Tanzania imezifungia kwa muda radio mbili > Mahojiano/ Uturuki imeonya itafanya mashamabulizi zaidi dhidi ya wanamgambo wa Kikurdi walioko nchini Syria/ Wanaharakati 29 wa haki za binadamu wameachiwa huru mjini Kinshasa