Biden na Xi Jinping kufanya mkutano wa ana kwa ana baada ya kutumia zaidi ya saa mbili kujadili hatma ya uhusiano wao tete pamoja na kuibuka tena mvutano kuhusu Taiwan+++Urusi yaishambulia Kyiv kwa mara ya kwanza katika wiki kadhaa+++Maandamano ya kuupinga utawala yasimaisha shughuli kwenye mji mkuu wa Guinea, Conakry+++Kongamano la Kimataifa la UKIMWI laanza Canada.