Rais wa zamani wa Tanzania Benjamin Mkapa azikwa/ Baadhi ya waathirika wa maandamano ya kisiasa yaliyotokea mwaka 2001 Unguja na Pemba wametangaza kumsamehe Benjamini Mkapa wakati akizikwa leo/ Mahojiano na Ahmed Rajab kuhusu kubadilika kwa msimamo wa STC/ Mwanamke raia wa Marekani anakabliwa na mashtaka ya kujifanya tabibu na kusababisha vifo vya watoto Mashariki mwa Uganda