Rais Donald Trump kukutana leo na mwenzake wa China Xi Jinping pembezoni mwa mkutano wa G20 // Umoja wa Ulaya watangaza kuwa mfumo wa INSTEX wa kuwezesha biashara na Iran umeanza kufanya kazi jana Ijumaa // Na Italia imewaruhusu wahamiaji wawili zaidi kushuka kwenye meli ya uokozi ya Ujerumani ya Sea-Watch