China inakusudia kujihusisha zaidi katika shughuli za kijeshi na kwa ajili hiyo imewaalika wakuu wa majeshi wa Afrika kwenye mkutano mjini Beijing// Ujerumani imewarejesha waomba hifadhi 4,100 kati ya mwezi Januari hadi mwishoni mwa mwezi Mei kwenye mataifa ya Ulaya walikosajiliwa awali.