Kura ya maoni ya Uingereza ambapo asili mia karibu 52 wameamua kujitoa katika Umoja wa Ulaya inatishia kuitumbukiza nchi hiyo katika hali isiyokadirika kiuchumi miaka inayokuja// Uchumi wa Kenya umeathiriwa kwa kiwango kikubwa kutokana na bidhaa bandia zinazoingia au kutengenezwa nchini humo// Waumini wa dini ya kiislamu wako katika siku kumi za mwisho za mfungo mtukufu wa Ramadhani.