Tanzania: Mahakama yamtia Zitto Kabwe hatiani// Rais Donald Trump wa Marekani amewaita ´vibaka´ waandamanaji mjini Minneapolis wanaolaani kifo cha mmarekani mweusi// DR Congo: Wanajeshi wa FARDC pamoja na MONUSCo wawakabili waandamanaji na kuepusha maafa zaidi// Brazil imeripoti visa zaidi ya 26,000 vya maambukizi ya virusi vya corona kwa siku.