Leo ni Siku ya Kimataifa ya Wanajeshi wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa, huku kaulimbiu ya mwaka huu wa 2018 ikisema: ''Wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa: Miaka 70 ya Huduma na Kujitolea''// Wanamgambo wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza wamevurumisha makombora kadhaa kusini mwa Israel mapema leo.