1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

29.04.2020 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S29 Aprili 2020

Ujerumani yaongeza muda wa marufuku kwa safari za kitalii/ Idadi ya maambukizi ya corona Tanzania yaongezeka hadi 480/ Tanzania: Wasiwasi unaongezeka kufuatia madai na visa vya wazi kuwa hospitali kadhaa zinakataa kuwapokea wagonjwa kutokana na wasiwasi wa ugonjwa wa COVID-19/ Polisi Burundi yaonya kuhusu uhasama wa vyama kwenye kampeni/ Mvua yasababisha maafa zaidi Kenya

https://p.dw.com/p/3bZsv