1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

29.03.2017 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S29 Machi 2017

Nchini Kenya Gavana wa kaunti ya Mombasa Ali Hassan Joho ambaye amejitokeza kuwa mpinzani mkali wa Serikali ya Rais Uhuru Kenyatta, amefika katika makao makuu ya idara ya upelelezi// Rais wa Marekani Donald Trump jana Jumanne ametia saini amri ya kubatilisha sheria zilizowekwa na rais aliyemtangulia Barack Obama za kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa.

https://p.dw.com/p/2aEfH