1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

29.01.2019 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S29 Januari 2019

Bunge la Tanzania limefanya kikao chake cha kwanza cha mkutano wa 14 mjini Dodoma// Tukio la kupatikana miili ya watoto 10 waliouawa kwa kuchinjwa na kisha waliofanya unyama huo wakaondoka na baadhi ya viungo vyao bado linaendelea kujadiliwa nchini Tanzania// Ripoti ya shirika la kimataifa la kupambana na ufisadi inaonyesha kuwa Rwanda na Tanzania zimeipiku Kenya katika vita dhidi ya ufisadi.

https://p.dw.com/p/3CON9