Rais Steinmeier ammuagia sifa waziri mkuu Ethiopia/ Macron azungumzia suala la haki za binadamu na Al Sisi/ Rais Ghani ataka mazungumzo ya maana na Taliban/ Kenya: Wabunge wawili wa ODM wanakabiliwa na kitisho cha kuvuliwa ubunge na kuomba upya ridhaa ya wapiga kura ili kurejea bungeni/ Tanzania: Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne sio ya kujivunia